Christian Anfinsen : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 15:09, 15 Agosti 2007
Christian Boehmer Anfinsen (26 Machi, 1916 – 14 Mei, 1995) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhusiano kati ya mfumo wa protini na athari zake mwilini. Mwaka wa 1972, pamoja na Stanford Moore na William Stein alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |