Demokrasia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: za:Minzcuj |
d r2.6.3) (roboti Nyongeza: ky:Демократия |
||
Mstari 72: | Mstari 72: | ||
[[ksh:Demokratie]] |
[[ksh:Demokratie]] |
||
[[ku:Demokrasî]] |
[[ku:Demokrasî]] |
||
[[ky:Демократия]] |
|||
[[la:Democratia]] |
[[la:Democratia]] |
||
[[ln:Demokrasi]] |
[[ln:Demokrasi]] |
Pitio la 10:46, 14 Oktoba 2011
Demokrasia (ni neno kutoka lugha ya Kigiriki, demokratia maana yake utawala na watu) ni aina ya serikali. Kwenye demokrasia, watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao. Kuna njia kede-kede za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kikawaida huitwa kushikilia uchaguzi.
Vyama vya kisiasa] uhusika na masuala ya kisiasa. Yaonekana kwamba yaweza kuwa rahisi kuwa na chama cha kisiasa. Chama kitakachoshinda uchaguzi watamchagua kiongozi wanayemtaka.