72,830
edits
|footnotes = <sup>1</sup> Qatar ilitawaliwa na familia ya Al Thani tangu karne ya 19 lakini ilikuwa chini ya Uingereza katika karne ya 20<br />
}}
'''Qatar''' ([[Kiarabu]]: '''<big> قطر </big>''') ni [[emirati]] ndogo wa [[Uarabuni]] kwenye [[rasi ya Qatar]] ambayo ni sehemu ya [[rasi ya Uarabuni|rasi kubwa ya Uarabuni]].
Imepakana na [[Saudi Arabia]] upande wa kusini. Mipaka mingine ni ya [[Ghuba ya Uajemi]]. Kisiwa cha [[Bahrain]] kiko karibu.
[[Mji mkuu]] wa Qatar '''[[Doha]]'''.▼
▲[[Mji mkuu]] wa Qatar ni '''[[Doha]]'''.
Watu wa Qatar wenyewe ni Waarabu. [[Kiarabu]] ni lugha rasmi ya nchi lakini [[Kiingereza]] hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya biashara na ofisini. ▼
▲
Uchumi wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya petroli na gesi yake. ▼
Waqatari wenyewe ni [[Uislamu|Waislamu]] lakini wakazi kutoka nje hufuata [[dini]] mbalimbali.
▲[[Uchumi]] wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya [[petroli]] na [[gesi]] yake.
== Viungo vya nje ==
|