Pasifiki : Tofauti kati ya masahihisho
d roboti Badiliko: tpi:Solwara Pasifik |
d r2.5.5) (roboti Nyongeza: kaa:Tınısh okeanı |
||
Mstari 99: | Mstari 99: | ||
[[jv:Samudra Pasifik]] |
[[jv:Samudra Pasifik]] |
||
[[ka:წყნარი ოკეანე]] |
[[ka:წყნარი ოკეანე]] |
||
[[kaa:Tınısh okeanı]] |
|||
[[kk:Тынық мұхит]] |
[[kk:Тынық мұхит]] |
||
[[km:មហាសមុទ្រប៉ាស៊ីហ្វិក]] |
[[km:មហាសមុទ្រប៉ាស៊ីហ្វិក]] |
Pitio la 20:07, 4 Oktoba 2011
Pasifiki ni bahari kubwa kuliko bahari zote duniani.
Pasifiki iko kati ya Bara la Amerika kwa upande wa mashariki na Bara la Asia / Australia upanda wa magharibi. Eneo lake ni karibu nusu ya uso wa dunia. Eneo lake ni kilometa za mraba milioni 179.7 ambayo si bahari kubwa tu bali pia ni eneo kubwa kuliko nchi kavu yote duniani. Visiwa vyake vingi huhesabiwa mara nyingi pamoja na Australia kama "Australia na Pasifiki".
Pasifiki ina kina cha wastani wa mita 4,028; kina kikubwa katika mfereji wa Mariana kinafikia mita 11,034.
Kuna visiwa zaidi ya 25,000 katika Pasifiki vingi ni vidogo sana.
Bahari za pembeni ziko hasa upande wa Asia / Australia. Kati ya hizo ni: Bahari ya Calebes, Bahari ya Uchina ya Kusini, na Bahari ya Japan.
Jina la Pasifiki (Kilatini: yenye amani, yaani kimya) limetokana na Wazungu wa kwanza waliovuka bahari hii mwaka 1520 BK kutoka Amerika ya Kusini hadi Ufilipino wakaikuta kuwa ni bahari tulivu. Lakini Pasifiki inaweza kuwa na dhoruba kali sana. Ni eneo lenye matetemeko ya ardhi mengi yanayosababisha mawimbi haribifu ya tsunami ambayo yalimaliza miji na vijiji ufukoni.
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|