Port Bell : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Image:Port_Bell_Place_Uganda.png|thumb|300px|Mahali pa Port Bell katika Uganda]] |
|||
'''Port Bell''' ni mji mdogo karibu na [[Kampala]]/ [[Uganda]] ufukoni wa ziwa la [[Viktoria Nyanza]]. Jina la mji limetokana na Sir [[Hesketh Bell]] aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909. |
'''Port Bell''' ni mji mdogo karibu na [[Kampala]]/ [[Uganda]] ufukoni wa ziwa la [[Viktoria Nyanza]]. Jina la mji limetokana na Sir [[Hesketh Bell]] aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909. |
||
Mstari 4: | Mstari 5: | ||
Kuna viwanda kadhaa kama vile [[Kiwanda cha Bia]] cha [[Uganda Breweries]]; [[bia]] ya [[Bell Lager]] inatengenezwa hapa. Kuna pia kiwanda cha pombe kali aina ya [[Waragi]] na kiwanda cha chai. |
Kuna viwanda kadhaa kama vile [[Kiwanda cha Bia]] cha [[Uganda Breweries]]; [[bia]] ya [[Bell Lager]] inatengenezwa hapa. Kuna pia kiwanda cha pombe kali aina ya [[Waragi]] na kiwanda cha chai. |
||
[[en:Port Bell]] |
[[en:Port Bell]] |
||
[[de:Port Bell]] |
[[de:Port Bell]] |
||
[[he:פורט בל]] |
Pitio la 17:40, 4 Februari 2006
Port Bell ni mji mdogo karibu na Kampala/ Uganda ufukoni wa ziwa la Viktoria Nyanza. Jina la mji limetokana na Sir Hesketh Bell aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909.
Port Bell ni bandari kwa ajili ya Kampala. Feri zinatoka kwenda Jinja, Kisumu na Mwanza.
Kuna viwanda kadhaa kama vile Kiwanda cha Bia cha Uganda Breweries; bia ya Bell Lager inatengenezwa hapa. Kuna pia kiwanda cha pombe kali aina ya Waragi na kiwanda cha chai.