Ernst Boris Chain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: simple:Ernst Chain
d The file Image:Ernst_Boris_Chain.jpg has been removed, as it has been deleted by commons:User:Denniss: ''No permission since 3 September 2011''. ''Translate me!''
Mstari 1: Mstari 1:

[[Picha:Ernst Boris Chain.jpg|thumb|right|Ernst Boris Chain]]
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]



Pitio la 11:51, 1 Oktoba 2011

Ernst Boris Chain (19 Juni, 190612 Agosti, 1979) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ujerumani. Kwa vile alikuwa Myahudi alihamia nchi wa Uingereza wakati wa Adolf Hitler kupokea utawala wa Ujerumani. Chain hasa alichunguza viua vijasumu. Mwaka wa 1945, pamoja na Alexander Fleming na Howard Walter Florey alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Mwaka wa 1969 alipewa cheo cha "Sir".

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ernst Boris Chain kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.