26 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: xmf:26 მანგი |
d r2.6.5) (roboti Badiliko: sh:26. 6. |
||
Mstari 133: | Mstari 133: | ||
[[sco:26 Juin]] |
[[sco:26 Juin]] |
||
[[se:Geassemánu 26.]] |
[[se:Geassemánu 26.]] |
||
[[sh:26.6.]] |
[[sh:26. 6.]] |
||
[[simple:June 26]] |
[[simple:June 26]] |
||
[[sk:26. jún]] |
[[sk:26. jún]] |
Pitio la 03:23, 21 Septemba 2011
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1945 - Umoja wa Mataifa unaanzishwa mjini San Francisco na kuchukua nafasi ya Shirikisho la Mataifa.
- 1960 - Kisiwa cha Madagaska kinapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 1960 - Somalia ya Kiingereza inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa
- 1892 - Pearl S. Buck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1938)
- 1937 - Robert Richardson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1996
- 1941 - Omar Ali Juma, mwanasiasa kutoka Zanzibar
- 1942 - Gilberto Gil, mwanamuziki na Waziri wa Utamaduni wa Brazil
- 1987 - Samir Nasri, mchezaji mpira kutoka Ufaransa
Waliofariki
- 1541 - Francisco Pizarro aliyevamia Peru na kuharibu Dola la Inka anauawa mjini Lima.
- 1943 - Karl Landsteiner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1930)
- 1975 - Josemaría Escrivá
- 2007 - Amina Chifupa (Mbunge wa kiti maalum mwaka 2005 )