Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: yi:אינטערנציאנאלע סיסטעם פון איינסן |
d roboti Badiliko: yi:אינטערנאציאנאלע סיסטעם פון איינסן |
||
Mstari 107: | Mstari 107: | ||
[[vls:SI-systèm]] |
[[vls:SI-systèm]] |
||
[[war:Kanasodnon Sistema han mga Panukol]] |
[[war:Kanasodnon Sistema han mga Panukol]] |
||
[[yi: |
[[yi:אינטערנאציאנאלע סיסטעם פון איינסן]] |
||
[[yo:Ìwọ̀n Ẹyọ Akáríayé SI]] |
[[yo:Ìwọ̀n Ẹyọ Akáríayé SI]] |
||
[[zh:国际单位制]] |
[[zh:国际单位制]] |
Pitio la 12:39, 13 Septemba 2011
Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.
Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).
Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.