Moskva (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: bs:Moskva (rijeka)
d r2.6.4) (roboti Badiliko: id:Sungai Moskwa
Mstari 41: Mstari 41:
[[he:מוסקבה (נהר)]]
[[he:מוסקבה (נהר)]]
[[hu:Moszkva (folyó)]]
[[hu:Moszkva (folyó)]]
[[id:Sungai Moskva]]
[[id:Sungai Moskwa]]
[[it:Moscova]]
[[it:Moscova]]
[[ja:モスクワ川]]
[[ja:モスクワ川]]

Pitio la 03:46, 11 Septemba 2011

Mto Moskva
Mto Moskva mjini Moscow
Chanzo Vilima vya Smolensk
Mdomo Mto Oka (karibu na Kolomna)
Nchi Urusi
Urefu 509 km
Mkondo 7,000 m³/s
Eneo la beseni 17,600 km²
Miji mikubwa kando lake Moscow
Ramani ya beseni ya Volga pamoja na Moskva

Mto Moskva (Kirusi: Москва) ni mto wa Urusi unaopita katika mikoa ya Moscow na Smolensk na kwenye mji wa Moscow mwenyewe. Urefu wake ni kilomita 503. Unaishia katika mto Oka kwenye mji wa Kolomna. Kwa jumla ni sehemu ya beseni ya Volga.