Kiitalia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Ondoa: nap:Lingua italiana
d r2.5) (roboti Nyongeza: am:ጣልያንኛ
Mstari 22: Mstari 22:
[[af:Italiaans]]
[[af:Italiaans]]
[[als:Italienische Sprache]]
[[als:Italienische Sprache]]
[[am:ጣልያንኛ]]
[[an:Idioma italián]]
[[an:Idioma italián]]
[[ang:Italisc sprǣc]]
[[ang:Italisc sprǣc]]

Pitio la 14:19, 23 Agosti 2011

Kiitalia ni lugha inayozungumzwa na watu milioni 70 hasa nchini Italia.

Ni lugha rasmi ya Italia, San Marino, Vatikano, Uswisi na katika sehemu za Slovenia na Kroatia.

Inatumika pia katika Monako, Malta, Albania na visiwa kadhaa za Ugiriki), halafu bado kama lugha ya elimu katika nchi zilizokuwa koloni za Italia kama Eritrea, Libya, Ethiopia na Somalia.

Kihistoria asili yake ni lugha ya Kilatini. Pamoja na Kifaransa, Kihispania, Kireno, Kiromania na lugha ndogo ni moja ya lugha za Kirumi.

Blau: Amtssprache; Hellblau: Verkehrssprache
Kiitalia