Tobias Asser : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: he:טוביאס מייקל אסר |
d r2.6.4) (roboti Badiliko: he:טוביאס אסר |
||
Mstari 25: | Mstari 25: | ||
[[fi:Tobias Michael Carel Asser]] |
[[fi:Tobias Michael Carel Asser]] |
||
[[fr:Tobias Asser]] |
[[fr:Tobias Asser]] |
||
[[he:טוביאס |
[[he:טוביאס אסר]] |
||
[[hu:Tobias Michael Carel Asser]] |
[[hu:Tobias Michael Carel Asser]] |
||
[[id:Tobias Michael Carel Asser]] |
[[id:Tobias Michael Carel Asser]] |
Pitio la 02:45, 23 Agosti 2011
Tobias Michael Carel Asser (28 Aprili, 1838 – 29 Julai, 1913) alikuwa mwanasheria kutoka nchi ya Uholanzi. Alikuwa profesa wa sheria kwenye Chuo Kikuu cha Amsterdam. Mwaka wa 1899 na tena 1907 alikuwa mwakilishi wa Uholanzi kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague. Mwaka wa 1911, pamoja na Alfred Fried alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tobias Asser kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |