Arbeiderpartiet : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: ms:Parti Buruh Norway
d r2.7.1+) (roboti Badiliko: ko:노동당 (노르웨이)
Mstari 27: Mstari 27:
[[it:Partito Laburista Norvegese]]
[[it:Partito Laburista Norvegese]]
[[ja:ノルウェー労働党]]
[[ja:ノルウェー労働党]]
[[ko:노르웨이 노동당]]
[[ko:노동당 (노르웨이)]]
[[lt:Norvegijos darbo partija]]
[[lt:Norvegijos darbo partija]]
[[ms:Parti Buruh Norway]]
[[ms:Parti Buruh Norway]]

Pitio la 22:24, 19 Agosti 2011

Jens Stoltenberg anayekuwa Waziri Mkuu wa Norwei anahutubu kwa wafanyakazi hapo 1 Mei 2009.

Arbeiderpartiet (Ap; Chama cha Wafanyakazi), jina kamili Det norske Arbeiderparti (Chama cha Wafanyakazi Norwei), ni chama kikubwa cha kisiasa nchini Norwei. Kimeanzishwa huko mjini Arendal mwaka 1887 ili kuandaa wafanyakazi na kupigania jamii sawa ya ujamaa. Tangu Vita Kuu ya Pili ya Dunia Arbeiderpartiet kimekuwa chama kikubwa nchini Norwei.

Jens Stoltenberg (anayekuwa Wazairi Mkuu wa Norwei) amekuwa mkuu wa Arbeiderpartiet tangu mwaka wa 2002. Arbeiderpartiet kimeanzisha serikali pamoja na Sosialistisk Venstreparti na Senterpartiet (Stoltenberg II).

Viungo vya nje