Giordano Bruno : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Badiliko: kk:Джордано Бруно
Mstari 63: Mstari 63:
[[mk:Џордано Бруно]]
[[mk:Џордано Бруно]]
[[mn:Жордано Бруно]]
[[mn:Жордано Бруно]]
[[mr:ज्योर्दानो ब्रुनो]]
[[nap:Giordano Bruno]]
[[nap:Giordano Bruno]]
[[nl:Giordano Bruno]]
[[nl:Giordano Bruno]]

Pitio la 20:19, 10 Agosti 2011

Giordano Bruno

Giordano Bruno alizaliwa Nola mwaka 1548 akauawa tarehe 17 Februari 1600 mjini Roma.

Alikuwa kasisi, mtawa wa shirika la Wadominiko, mwanafalsafa na mshairi nchini Italia.

Anakumbukwa katika falsafa hasa kwa sababu ya mafundisho yake kuwa ulimwengu hauna mwisho wala mipaka.

Alihukumiwa na mahakama ya Papa adhabu ya kifo na kuchomwa motoni kama mzushi na mchawi.

Mwaka 2000 kamati ya Vatikano ilitangaza kwamba hukumu ile ilikuwa kosa.


Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Giordano Bruno kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.