New Jersey : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: sr:Њу Џерси
d r2.7.1) (roboti Badiliko: az:Nyu Cersi
Mstari 52: Mstari 52:
[[arz:نيو جيرسى]]
[[arz:نيو جيرسى]]
[[ast:Nueva Jersey]]
[[ast:Nueva Jersey]]
[[az:Nyu-Cersi]]
[[az:Nyu Cersi]]
[[bat-smg:Naus Džersės]]
[[bat-smg:Naus Džersės]]
[[bcl:New Jersey]]
[[bcl:New Jersey]]

Pitio la 16:26, 5 Agosti 2011








New Jersey

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Trenton
Eneo
 - Jumla 22,588 km²
 - Kavu 19,211 km² 
 - Maji 3,377 km² 
Tovuti:  http://www.nj.gov/

New Jersey (Jersey Mpya) ni jimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Trenton lakini mji mkubwa ni Newark. Uko kwenye pwani ya Atlantiki upande wa mashariki ya Marekani bara.

Impepakana na New York, Delaware na Pennsylvania. Upande wa mashariki maji ya Atlantiki.

Jimbo lina wakazi wapatao 8,682,661 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 22,608.

New Jersey ilikuwa koloni ya Uingereza tangu 1729 na pia moja kati ya koloni 13 zilizoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda nchi mpya ya Marekani tangu 1778.

Viungo vya Nje


Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya New Jersey bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu New Jersey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.