Chui (Pantherinae) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d The file Image:Arabian_Leopard.jpg has been removed, as it has been deleted by commons:User:ZooFari: ''No evidence of permission since 6 July 2011''. ''Translate me!''
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: kk:Үлкен мысықтар
Mstari 76: Mstari 76:
[[ja:ヒョウ亜科]]
[[ja:ヒョウ亜科]]
[[ka:დიდი კატები]]
[[ka:დიდი კატები]]
[[kk:Үлкен мысықтар]]
[[ko:표범아과]]
[[ko:표범아과]]
[[lb:Grousskazen]]
[[lb:Grousskazen]]

Pitio la 11:48, 2 Agosti 2011

Chui
Chui-theluji
Chui-theluji
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbuai)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Pantherinae (Wanyama wanaofanana na chui)
Ngazi za chini

Jenasi 2:

Chui ni wanyama mbuai wakubwa wa nusufamilia Pantherinae katika familia Felidae. Isipokuwa spishi moja (simba), wanyama hawa wana madoa au milia. Spishi nyingi zinatokea misitu au maeneo mengine yenye miti katika Afrika, Asia na Amerika, nyingine zinatokea savana na hata milima.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha