Missouri (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: af:Missouririvier
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: kk:Миссури өзені
Mstari 37: Mstari 37:
[[ja:ミズーリ川]]
[[ja:ミズーリ川]]
[[ka:მისური (მდინარე)]]
[[ka:მისური (მდინარე)]]
[[kk:Миссури өзені]]
[[ko:미주리 강]]
[[ko:미주리 강]]
[[lt:Misūris (upė)]]
[[lt:Misūris (upė)]]

Pitio la 06:43, 1 Agosti 2011

Ramani ya beseni ya Missouri

Mto Missouri ni mto mkubwa wa Marekani na tawimto muhimu zaidi la Mississippi. Ni mto mrefu kushinda ule wa Missisippi na ni mto mrefu katika Amerika ya Kaskazini.

Chanzo cha mto kipo kwenye milima ya Rocky Mountains katika jimbo la Montana. Missouri inaendelea kupita majimbo ya North Dakota, South Dakota, Iowa, Nebraska, Missouri na Kansas.

Inaishia katika Missisippi karibu na mji wa Saint Louis, Missouri.