Pembenyingi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: lmo:Polìgon (geometrìa)
d r2.5.4) (roboti Nyongeza: sn:Gonyazhinji
Mstari 77: Mstari 77:
[[sk:Mnohouholník]]
[[sk:Mnohouholník]]
[[sl:Mnogokotnik]]
[[sl:Mnogokotnik]]
[[sn:Gonyazhinji]]
[[sr:Многоугао]]
[[sr:Многоугао]]
[[sv:Polygon]]
[[sv:Polygon]]

Pitio la 13:17, 31 Julai 2011

Pembenyingi (pia: poligoni) ni umbo bapa lenye pande tatu au zaidi.

Pembenyingi hutokea kama nukta kwenye tambarare zaunganishwa kwa mistari inayofunga eneo au maeneo ndani yao.

Katika jiometria ya tambarare pembenyingi sahili kabisa ni pembetatu.

Pembenyingi sahili haina mistari inayopandana. Ikipandana huitwa pembenyingi tata.

Mifano ya pembenyingi

Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pembenyingi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.