Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: id:Auguste Beernaert
Mstari 13: Mstari 13:
{{mbegu}}
{{mbegu}}


[[ar:أوجست ماري فرنسوا برناريت]]
[[bg:Огюст Бернарт]]
[[bg:Огюст Бернарт]]
[[ca:Auguste Beernaert]]
[[ca:Auguste Beernaert]]

Pitio la 04:10, 22 Julai 2007

Auguste Beernaert
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 18296 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.