Encyclopedia Britannica : Tofauti kati ya masahihisho
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.2) (roboti Badiliko: la:Encyclopædia Britannica |
d r2.5.2) (roboti Badiliko: la:Encyclopaedia Britannica |
||
Mstari 74: | Mstari 74: | ||
[[ka:ბრიტანიკა]] |
[[ka:ბრიტანიკა]] |
||
[[ko:브리태니커 백과사전]] |
[[ko:브리태니커 백과사전]] |
||
[[la: |
[[la:Encyclopaedia Britannica]] |
||
[[lb:Encyclopaedia Britannica]] |
[[lb:Encyclopaedia Britannica]] |
||
[[lt:Encyclopædia Britannica]] |
[[lt:Encyclopædia Britannica]] |
Pitio la 18:50, 26 Julai 2011
Encyclopædia Britannica ni kamusi elezo ya Kiingereza iliyoanzishwa mwaka 1768 mjini Edinburgh Uskoti. Hadi kukua kwa wikipedia ilikuwa pia kamusi elezo kubwa duniani.
Britannica imelenga kuonyesha ujuzi na elimu yote ya dunia. Imejipatia sifa ya kuwa makala zake zatoa maelezo mazuri pia ya undani. Hadi leo inatazamwa na watu wengi ni kamusi elezo bora duniani.
Toleo | Mwaka | Idadi ya vitabu ya toleo |
1. |
1768-1771 |
3
|
Toleo la 16 la 2004 lina makala 75,000 yenye maneno milioni 44. Vitabu vyake 32 zaweza kunununuliwa kwa USD 1,400 kwa umbo la karatasi. Zapatikana pia kwa bei nafuu kama CD au DVD na kusomewa kwa compyuta.
Makala hii kuhusu kitabu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Encyclopedia Britannica kama Mwandishi wake, hadithi au matoleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |