Malaysia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: nah:Malasia
d r2.5) (roboti Badiliko: na:Maraidja
Mstari 209: Mstari 209:
[[mt:Malażja]]
[[mt:Malażja]]
[[my:မလေးရှားနိုင်ငံ]]
[[my:မလေးရှားနိုင်ငံ]]
[[na:Malaysia]]
[[na:Maraidja]]
[[nah:Malasia]]
[[nah:Malasia]]
[[nap:Malaysia]]
[[nap:Malaysia]]

Pitio la 16:54, 18 Julai 2011

Malaysia

Malaysia ni nchi ya Asia ya kusini-mashariki kando la Bahari ya Kusini ya China. Kuna sehemu mbili ambazo ni

  • Malaysia Bara au Malaysia Magharibi kwenye Rasi ya Malay
  • Malaysia Kisiwani au Malaysia ya Mashariki kwenye kisiwa cha Borneo.

Upande wa rasi Malaysia imepakana na Uthai na Singapore. Sehemu ya Borneo imepakana na Brunei na Indonesia.

Kisiasa Malaysia ni shirikisho ya majimbo 13. Nchi ilianzishwa mwaka 1963 wakati Shirikisho ya Kimalay (Kimalay: Persekutuan Tanah Melayu) liliungana na Singapur, Sabah na Sarawak. Singapur iliondoka 1965 ikawa nchi ya pekee.

Majimbo ya Shirikisho

Malaysia ni Shirikisho la Kifalme. Tisa kati ya majimbo yake 13 ni sultani chini ya utaratibu wa kifalme na manne hufuata muundo wa jamhuri.

Majimbo ya shrikisho ni kama yafuatayo.

Tisa sultani zinazoongozwa na Sultani pamoja na waziri mkuu anayechaguliwa na bunge la jimbo:

Majimbo manne chini ya gavana anayeteuliwa na serikali kuu na waziri mkuu anayechaguliwa na bunge la jimbo:

Maeneo matatu ya shirikisho:

Viungo vya Nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Malaysia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA