Benedikto Yosefu Labre : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ko:베네딕토 요셉 라브르
Mstari 29: Mstari 29:
[[de:Benoît Joseph Labre]]
[[de:Benoît Joseph Labre]]
[[en:Benedict Joseph Labre]]
[[en:Benedict Joseph Labre]]
[[es:Benito José Labre]]
[[eo:Benoît Joseph Labre]]
[[eo:Benoît Joseph Labre]]
[[es:Benito José Labre]]
[[fr:Benoît-Joseph Labre]]
[[fr:Benoît-Joseph Labre]]
[[id:Benediktus Yosef Labre]]
[[id:Benediktus Yosef Labre]]
[[it:Benedetto Giuseppe Labre]]
[[it:Benedetto Giuseppe Labre]]
[[ko:베네딕토 요셉 라브르]]
[[nl:Benedictus Jozef Labre]]
[[nl:Benedictus Jozef Labre]]
[[pl:Benedykt Józef Labre]]
[[pl:Benedykt Józef Labre]]

Pitio la 08:42, 15 Julai 2011

Mtakatifu alivyochorwa na Antonio Cavallucci mwaka 1795.
Mtakatifu Benedict Joseph Labré.
Kanisa la Santa Maria ai Monti alimozikwa.

Benedikto Yosefu Labre (kwa Kifaransa Benoît-Joseph Labré) alizaliwa tarehe 25 Machi 1748 huko Amettes, Boulogne-sur-Mer, Ufaransa akafariki tarehe 17 Aprili 1783 huko Roma, Italia baada ya kuishi miaka mingi bila ya makao maalumu, akihiji makanisa mbalimbali hasa kwa ajili ya kuabudu ekaristi.

Alitangazwa na Papa Pius IX kuwa mwenye heri tarehe 20 Mei 1859, halafu Papa Leo XIII akamtangaza mtakatifu tarehe 8 Desemba 1881.

Sikukuu yake ni tarehe 16 Aprili.

Marejeo

  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-140-51312-4.

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.