Rukia yaliyomo

Bahari ya Karibi : Tofauti kati ya masahihisho

20 bytes added ,  miaka 11 iliyopita
d
JPG for PNG map
d (r2.5.4) (roboti Nyongeza: ang:Caribisc Sǣ)
d (JPG for PNG map)
[[Picha:Central_americaCIA map Central America & Caribbean.jpgpng|thumb|350px|right|Ramani ya Amerika ya Kati na Bahari ya Karibi]]
'''Bahari ya Karibi''' ni bahari ya pembeni ya [[Atlantiki]] iliyoko kusini ya [[Ghuba ya Meksiko]]. Upande wa magharibi imepakana na Amerika ya Kati, kusini na Amerika ya Kusini. Pinde la [[Visiwa vya Karibi]] linaitenga na Atlantiki yenyewe.