Bahari ya Adria : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.5) (roboti Badiliko: eu:Adriatikoa |
d r2.6.2) (roboti Badiliko: la:Hadriaticum mare |
||
Mstari 63: | Mstari 63: | ||
[[ko:아드리아 해]] |
[[ko:아드리아 해]] |
||
[[ku:Deryaya Adriyatîk]] |
[[ku:Deryaya Adriyatîk]] |
||
[[la: |
[[la:Hadriaticum mare]] |
||
[[lb:Adriatescht Mier]] |
[[lb:Adriatescht Mier]] |
||
[[li:Adriatische Zie]] |
[[li:Adriatische Zie]] |
Pitio la 17:39, 10 Julai 2011
Bahari ya Adria au kwa kifupi "Adria" ni ghuba ya Mediteranea kati ya Rasi ya Italia na Rasi ya Balkani. i
Nchi zinazopakana nayo ni Italia, Slovenia, Kroatia, Bosnia na Herzegovina, Montenegro na Albania.
Adria huelekea kaskazini magharibi kutoka 40°N hadi 45° 45' N.. Urefu wake ni km 770 km na upana waka kwa wastani ni km 160. Sehemu nyembamba ni mlango wa Ortranto mwenye upana wa km 85. Eeno lake ni mnamo km² 160,000.
Mwambao wa kaskazini una visiwa vingi hasa mbele ya pwani la Kroatia.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bahari ya Adria kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |