Saint Kitts na Nevis : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: ss:IKhisinevi
Mstari 72: Mstari 72:
[[an:Sant Cristofo y Nieus]]
[[an:Sant Cristofo y Nieus]]
[[ar:سانت كيتس ونيفيس]]
[[ar:سانت كيتس ونيفيس]]
[[arz:سانت كريستوف و نييف]]
[[arz:سينت كريستوفر و نيفيس]]
[[ast:Saint Kitts y Nevis]]
[[ast:Saint Kitts y Nevis]]
[[az:Sent-Kits və Nevis]]
[[az:Sent-Kits və Nevis]]

Pitio la 20:39, 4 Julai 2011

Saint Kitts na Nevis


Ramani ya St. Kitts na Nevis


Saint Kitts na Nevis ni nchi ya visiwani kwenye visiwa viwili katika Bahari ya Karibi na nchi ndogo kabisa ya Amerika yote.

Mji mkuu wa Basseterre uko kwenye kisiwa cha Saint Kitts. Kisiwa kidogo cha Nevis (jina la zamani ya Kihispania: Nuestra Señora de las Nieves) kipo km 3 kusini-mashariki ya Kitts. Zamani pia kisiwa cha anguilla kiliunganishwa na visiwa hivi.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saint Kitts na Nevis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.