Praha : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: nds-nl:Praag
Mstari 123: Mstari 123:
[[nap:Praga]]
[[nap:Praga]]
[[nds:Prag]]
[[nds:Prag]]
[[nds-nl:Praag]]
[[nl:Praag]]
[[nl:Praag]]
[[nn:Praha]]
[[nn:Praha]]

Pitio la 18:59, 4 Julai 2011

Minara na madaraja ya Praha

Praha (pia: Praga, Prague (tamka: Prag) -Kicheki: Praha) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Ucheki mwenye wakazi milioni 1.2. Kutokana na uzuri wa majengo yake za kihistoria imeitwa "mji wa dhahabu" au "mji wa minara 100".

Jiografia

Mji uko kando la mto Vltava katika Ucheki ya magharibi. Kitovu cha mji kipo katika pindo la mto kati ya vilima viwili. Mji umeenea zaidi hadi nyanda za juu za jirani. Ndani ya eneo la mji kuna visiwa kadhaa mtoni. Milima ya juu karibi na mji inafikia kimo cha 381 na 385 m.

Viungo vya Nje

Picha za Praha

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Praha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA