Sakuramachi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: yo:Emperor Sakuramachi
Mstari 25: Mstari 25:
[[ru:Император Сакурамати]]
[[ru:Император Сакурамати]]
[[uk:Імператор Сакураматі]]
[[uk:Імператор Сакураматі]]
[[yo:Emperor Sakuramachi]]
[[zh:櫻町天皇]]
[[zh:櫻町天皇]]

Pitio la 02:47, 27 Juni 2011

Sakuramachi (8 Februari, 172028 Mei, 1750) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Teruhito. Tarehe 13 Aprili, 1735 alimfuata baba yake, Nakamikado, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 9 Juni, 1747. Aliyemfuata ni mwana wake, Momozono.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sakuramachi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.