Methali : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
wahariri wasionekane ndani ya makala |
d r2.6.1) (roboti Nyongeza: war:Darahonon |
||
Mstari 109: | Mstari 109: | ||
[[vi:Tục ngữ]] |
[[vi:Tục ngữ]] |
||
[[wa:Spot]] |
[[wa:Spot]] |
||
[[war:Darahonon]] |
|||
[[xal:Үлгүрмүд]] |
[[xal:Үлгүрмүд]] |
||
[[yi:סלאגאן]] |
[[yi:סלאגאן]] |
Pitio la 09:50, 22 Juni 2011
Methali ni aina ya usemi wa kisanii wa kimapokeo unaofikiriwa na jamii kuwa wa kweli na unaotumiwa kufumbia au kutolea mfano na huwa umebeba maana pana kuliko maneno yenyewe yanayotumiwa.
Kila Taifa na kila kabila lina methali zake, baadhi ya methali za kiswahili ni kama; mficha ugonjwa kifo humuumbua na mcheza kwao hutunzwa.
Methali za Kiswahili
Methali | Maana/Matumizi | Taafsiri ya Kizungu | |
---|---|---|---|
Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu | Asiyefuata ushahuri wa wakuu wake,mabaya humpata | He that does not heed the elderly advice, evil befalls him | |
Aisifiaye mvua,ujue imemnyeshea | Hutumika kuashiria mtu asifiaye jambo fulani, bila shaka ashatambua utamu wake | He that praises rain,has seen it | |
Aliye juu,mngojee chini | Anayejitapa ashafaulu maishani,punde atafeli. | Pride comes before a fall | |
Usimwamshe aliyelala utalala wewe. | usimkumbushe aliyesahau kufanya jambo fulani maanake utalisahau wewe | Do not wake one who is sleeping; you will fall asleep yourself. |