Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.5) (roboti Badiliko: hu:Auguste Beernaert
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: tt:Огюст Беернарт
Mstari 46: Mstari 46:
[[ru:Беернарт, Огюст]]
[[ru:Беернарт, Огюст]]
[[sv:Auguste Beernaert]]
[[sv:Auguste Beernaert]]
[[tt:Огюст Беернарт]]
[[vi:Auguste Beernaert]]
[[vi:Auguste Beernaert]]
[[vls:August Beernaert]]
[[vls:August Beernaert]]

Pitio la 13:56, 14 Juni 2011

Auguste Beernaert
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 18296 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Tazama pia

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Auguste Beernaert kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.