Babeldaob : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: pt:Babeldaob
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: vi:Babeldaob
Mstari 30: Mstari 30:
[[rw:Babeldaob]]
[[rw:Babeldaob]]
[[sv:Babeldaob]]
[[sv:Babeldaob]]
[[vi:Babeldaob]]
[[zh:巴伯尔图阿普岛]]
[[zh:巴伯尔图阿普岛]]

Pitio la 10:36, 8 Juni 2011

Kisiwa cha Babeldaob / Babelthuap kwenye kaskazini ya Palau

Babeldaob (pia Babelthuap) ni kisiwa kikubwa cha nchi ya visiwani ya Palau. Eneo lake ni 331 km² au asilimia 70 ya eneo lote la taifa.

Kisiwani kuna mji mkuu wa Melekeok na tisa kati ya mikoa 16 ya Palau.

Maadam visiwa vingine vya Palau ni tambarare kabisa Babeldoab kuna mlima Ngerchelchuus mwenye kimo cha mita 242.

Kwenye mkoa wa Airai upande wa kusini upo uwanja wa ndege wa kimataifa.