Mtaguso wa tatu wa Laterano : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pt:Terceiro Concílio de Latrão |
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: zh:第三次拉特朗公會議 |
||
Mstari 30: | Mstari 30: | ||
[[ru:Третий Латеранский собор]] |
[[ru:Третий Латеранский собор]] |
||
[[uk:Третій Латеранський собор]] |
[[uk:Третій Латеранський собор]] |
||
[[zh:第三次拉特朗公會議]] |
Pitio la 07:34, 8 Juni 2011
Mtaguso wa tatu wa Laterano uliitishwa na Papa Aleksanda III (1159-1181) ufanyike huko Roma mwaka 1179, kutokana na Amani ya Venezia kati ya Kaisari Federiko I wa Ujerumani na Lega Lombarda ya Italia kaskazini.
Unahesabiwa na Kanisa Katoliki kama mtaguso mkuu wa kumi na moja.
Ulihudhuriwa na viongozi wa Kanisa 300 na kufanyika katika vikao vitatu, tarehe 5 Machi, 7 Machi na 19 Machi 1179.
Ulijadili masuala mbalimbali na kuyatungia kanuni 27 na kutangua zile zilizotolewa na antipapa Paskali III. Kati ya maamuzi muhimu zaidi, mmojawapo ulihusu uchaguzi wa Papa, ukidai thuluthi mbili za kura za makardinali wote, bila ya kutofautisha haki za makundi yao matatu.