Mstari mnyoofu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.5.2) (roboti Nyongeza: eu:Zuzen (geometria) |
d r2.5.5) (roboti Badiliko: bg:Права |
||
Mstari 14: | Mstari 14: | ||
[[be:Прамая]] |
[[be:Прамая]] |
||
[[be-x-old:Простая]] |
[[be-x-old:Простая]] |
||
[[bg: |
[[bg:Права]] |
||
[[bn:রেখা]] |
[[bn:রেখা]] |
||
[[br:Eeunenn (geometriezh)]] |
[[br:Eeunenn (geometriezh)]] |
Pitio la 14:11, 6 Juni 2011
Mstari mnyoofu (pia: Mstari ulionyooka) ni hoja la kijiometria. Katika tambarare mstari mnyoofu ni njia fupi kati ya nukta mbili inayoendelea kila upande bila badiliko la mwelekeo. Hauna mwisho au mwanzo wala upana au unene.
Kwa lugha nyingine ni jumla ya nukta zote zilizopo kwenye njia hiyo.
Tena kwa lugha nyingine ni mwelekeo wa nukta inayoelekea mahali bila kubadilisha mwelekeo huu.