Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: cu:Мєждоународьнъ мѣръ сѷстима |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: su:Sistem Hijian Internasional |
||
Mstari 94: | Mstari 94: | ||
[[sq:Sistemi SI]] |
[[sq:Sistemi SI]] |
||
[[sr:Међународни систем јединица]] |
[[sr:Међународни систем јединица]] |
||
[[su: |
[[su:Sistem Hijian Internasional]] |
||
[[sv:Internationella måttenhetssystemet]] |
[[sv:Internationella måttenhetssystemet]] |
||
[[ta:அனைத்துலக முறை அலகுகள்]] |
[[ta:அனைத்துலக முறை அலகுகள்]] |
Pitio la 19:33, 29 Mei 2011
Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.
Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).
Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.