Kanisa kuu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Nyongeza: sq:Katedralja Badiliko: uk:Собор (храм), war:Catedral
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: lv:Katedrāle
Mstari 42: Mstari 42:
[[li:Kathedraal]]
[[li:Kathedraal]]
[[lt:Katedra]]
[[lt:Katedra]]
[[lv:Katedrāle]]
[[mr:प्रमुख चर्च]]
[[mr:प्रमुख चर्च]]
[[ms:Katedral]]
[[ms:Katedral]]

Pitio la 12:20, 27 Mei 2011

Kanisa kuu ni jina la heshima la jengo la ibada la Ukristo ambalo Askofu wa jimbo (dayosisi) fulani analitumia kwa kawaida kutekeleza kazi yake kama mchungaji mkuu wa waamini wake.

Jina hilo linashuhudiwa tayari na maandishi ya mwaka 516.

Linaitwa pia "kanisa mama" kwa sababu ni kama mama ya makanisa yote ya jimbo hilo.

Ndani yake umo ukulu, yaani kiti cha Askofu kisichopatikana katika makanisa mengine.