Maporomoko ya Niagara : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: hy:Նիագարայի ջրվեժ
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: fo:Niagarafossur
Mstari 52: Mstari 52:
[[fi:Niagaran putoukset]]
[[fi:Niagaran putoukset]]
[[fiu-vro:Niagara viisadang]]
[[fiu-vro:Niagara viisadang]]
[[fo:Niagarafossur]]
[[fr:Chutes Niagara]]
[[fr:Chutes Niagara]]
[[fy:Niagarawetterfal]]
[[fy:Niagarawetterfal]]

Pitio la 21:57, 21 Mei 2011

Maporomoko ya Niagara (Horseshoe Falls)

Maporomoko ya Niagara (Niagara Falls) ni mfululizo wa maporomoko ya mto Niagara yaliyopo mpakani mwa Kanada na Marekani kati ya Ziwa Erie na Ziwa Ontario. Ni maporomoko makubwa ya Amerika ya Kaskazini.

Wenyeji hutofautisha maporomoko matatu

  • Horseshoe Falls (maporomoko ya mguu wa farasi, yanaitwa pia maporomoko ya Kikanada)
  • Maporomoko ya Kimarekani
  • Maporomoko ya Bridal Veil (utaji wa bibi arusi)

Ni kitovu cha utalii katika Amerika ya Kaskazini kinachotembelewa na watalii wngi sana.

Kuna miji miwili inayoitwa Niagara Falls upande wa Kanada na mwingine upande wa Marekani.

Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA