Mkoa wa Estuaire : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: en:Estuaire Province
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ko:에스튀에르 주
Mstari 37: Mstari 37:
[[it:Estuaire]]
[[it:Estuaire]]
[[ja:エスチュエール州]]
[[ja:エスチュエール州]]
[[ko:에스튀에르 주]]
[[lt:Estuarijos provincija]]
[[lt:Estuarijos provincija]]
[[nl:Estuaire]]
[[nl:Estuaire]]

Pitio la 07:57, 17 Mei 2011

Estuaire Province
Estuaire Province

Estuaire ni moja kati ya mikoa tisa ya nchini Gabon. Mkoa umechukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 20,740. Mji mkuu wa mkoa huu ni Libreville, ambayo pia ndiyo mji mkuu wa nchi. Mkoa umepewa hili kwa ajili ya Mlango wa Mto wa Gabon, ambao ndiyo moyo wa mkoa huu.

Ukingo wa magharibi mwa Estuaire ni pwani ya Ghuba ya Guinea. Kwa upande wa kaskazini, Estuaire imepakana na Jamhuri ya Guinea ya Ikweta: Mkoa wa Litoral kwa upande wa kaskazini-magharibi, na Mkoa wa Centro Sur kwa upande wa kaskazini-mashariki. Kwa nyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:

Departments

Departments za Estuaire

Estuaire imegawanyika katika departments 5:

Coordinates: 0°23′40″N 9°25′45″E / 0.39444°N 9.42917°E / 0.39444; 9.42917