Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: fy:Ynternasjonaal Systeem fan Ienheden |
d r2.6.4) (roboti Badiliko: cu:Мєждоународьнъ мѣръ сѷстима |
||
Mstari 27: | Mstari 27: | ||
[[ca:Sistema Internacional d'Unitats]] |
[[ca:Sistema Internacional d'Unitats]] |
||
[[cs:Soustava SI]] |
[[cs:Soustava SI]] |
||
[[cu:Мєждоународьнъ мѣръ сѷстима]] |
|||
[[cu:Мєждоунаро́дьнъ мѣ́ръ сѷсти́ма]] |
|||
[[cy:System Ryngwladol o Unedau]] |
[[cy:System Ryngwladol o Unedau]] |
||
[[da:Système International d'Unités]] |
[[da:Système International d'Unités]] |
Pitio la 18:21, 15 Mei 2011
Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.
Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).
Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.