Ulaya ya Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: cu:Сѣвєрьна Єѵрѡпа |
d r2.7.1) (roboti Badiliko: pt:Norte da Europa |
||
Mstari 68: | Mstari 68: | ||
[[os:Цæгат Европæ]] |
[[os:Цæгат Европæ]] |
||
[[pl:Europa Północna]] |
[[pl:Europa Północna]] |
||
[[pt: |
[[pt:Norte da Europa]] |
||
[[ro:Europa de Nord]] |
[[ro:Europa de Nord]] |
||
[[ru:Северная Европа]] |
[[ru:Северная Европа]] |
Pitio la 00:53, 14 Mei 2011
Ulaya ya Kaskazini ni sehemu ya kaskazini ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili.
Kwa hakika tamko hili lamaanisha:
- Nchi za Skandinavia pamoja na Denmark, Ufini, Iceland, Norwei na Uswidi, pia visiwa vya Faroe.
- Nchi za Kibalti yaani Estonia, Latvia na Lithuania.
- Mara nyingi ama sehemu ya kaskazini ya Britania (=Uskoti) au funguvisiwa ya Britania yote huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya ya kaskazini yaani Uingereza, Uskoti, Welisi, Ueire na kisiwa cha Man.
- Wakati mwingine hata nchi nyingine kando la Bahari ya Baltiki kama Urusi ya kaskazini-magharibi, Poland ya kaskazini, Ujerumani ya Kaskazini zinahesabiwa humo.