Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: fy:Ynternasjonaal Systeem fan Ienheden
Mstari 41: Mstari 41:
[[fr:Système international d'unités]]
[[fr:Système international d'unités]]
[[fur:Sisteme internazionâl di unitâts]]
[[fur:Sisteme internazionâl di unitâts]]
[[fy:Ynternasjonaal Systeem fan Ienheden]]
[[ga:Córas Idirnáisiúnta na nAonad]]
[[ga:Córas Idirnáisiúnta na nAonad]]
[[gan:國際單位系統]]
[[gan:國際單位系統]]

Pitio la 14:42, 8 Mei 2011

Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.

Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA