Chui (Pantherinae) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: lv:Panteru apakšdzimta
d r2.7.1) (roboti Badiliko: uk:Пантерові
Mstari 88: Mstari 88:
[[sv:Pantherinae]]
[[sv:Pantherinae]]
[[tr:Büyük kediler]]
[[tr:Büyük kediler]]
[[uk:Великі кішки]]
[[uk:Пантерові]]
[[vi:Phân họ Báo]]
[[vi:Phân họ Báo]]
[[zh:豹亚科]]
[[zh:豹亚科]]

Pitio la 22:16, 7 Mei 2011

Chui
Chui-theluji
Chui-theluji
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbuai)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Pantherinae (Wanyama wanaofanana na chui)
Ngazi za chini

Jenasi 2:

Chui ni wanyama mbuai wakubwa wa nusufamilia Pantherinae katika familia Felidae. Isipokuwa spishi moja (simba), wanyama hawa wana madoa au milia. Spishi nyingi zinatokea misitu au maeneo mengine yenye miti katika Afrika, Asia na Amerika, nyingine zinatokea savana na hata milima.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha