Mpunga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: rn:Umuceri; cosmetic changes |
d roboti Nyongeza: mr:तांदूळ |
||
Mstari 107: | Mstari 107: | ||
[[ml:അരി]] |
[[ml:അരി]] |
||
[[mn:Тутарга]] |
[[mn:Тутарга]] |
||
[[mr:तांदूळ]] |
|||
[[ms:Padi]] |
[[ms:Padi]] |
||
[[nl:Rijst]] |
[[nl:Rijst]] |
Pitio la 17:04, 6 Mei 2011
Mpunga (Oryza spp.) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mpunga wa kiasia
| ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mpunga ni aina ya mimea katika familia ya manyasi (Poaceae). Spishi kadhaa zinapandwa katika sehemu mbalimbali za dunia, lakini mpunga wa kiasia ni ile ya kawaida.
Mpunga ni chanzo cha chakula kwa watu wengi duniani. Punje (mbegu) zake ni nafaka na huitwa mchele. Mchele uliopikwa ni wali.
Spishi
- Oryza barthii, Mpunga-porini wa kiafrika (African wild rice)
- Oryza glaberrima, Mpunga wa kiafrika (African rice)
- Oryza longistaminata, Mpunga stameni-refu (Longstamen rice)
- Oryza rufipogon, Mpunga mwekundu (Red rice)
- Oryza sativa, Mpunga wa kiasia (Asian rice)
- Oryza nivara, Mpunga-porini wa kihindi (Indian wild rice)
Picha
-
Mpunga wa kiasia (maua)
-
Mashamba ya mpunga huko China