Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: ku:Pavel Çerenkov
Mstari 48: Mstari 48:
[[sl:Pavel Aleksejevič Čerenkov]]
[[sl:Pavel Aleksejevič Čerenkov]]
[[sv:Pavel Tjerenkov]]
[[sv:Pavel Tjerenkov]]
[[uk:Черенков Павло Олексійович]]
[[yo:Pavel Cherenkov]]
[[yo:Pavel Cherenkov]]
[[zh:帕维尔·阿列克谢耶维奇·切连科夫]]
[[zh:帕维尔·阿列克谢耶维奇·切连科夫]]

Pitio la 12:30, 5 Mei 2011

Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 19046 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.


Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pavel Cherenkov kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.