Adamu : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: kk:Адам Ата |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Image:God2-Sistine Chapel.png|300px|thumb|right|[[Uumbaji]] wa Adamu ulivyochorwa na [[Michelangelo |
[[Image:God2-Sistine Chapel.png|300px|thumb|right|[[Uumbaji]] wa Adamu ulivyochorwa ([[1511]]) na [[Michelangelo]] Buonarroti katika [[Cappella Sistina]], huko [[Vatikano]]. Ni mmojawapo kati ya michoro maarufu zaidi duniani.]] |
||
[[Image:Formella 01, la creazione di Adamo, andrea pisano 1134-1136.JPG|thumb |
[[Image:Formella 01, la creazione di Adamo, andrea pisano 1134-1136.JPG|thumb|left|250px|''Uuumbaji wa Adamu'' kadiri ya [[Andrea Pisano]], [[1334]]-[[1336]]]] |
||
'''Adamu''' (kwa [[Kiebrania]]: אָדָם maana yake ''mtu'', ''mtu wa udongo'', ''chaudongo'', au ''wa udongo mwekundu'') ni jina analopewa mtu wa kwanza katika [[Biblia]] na [[Kurani]]. |
'''Adamu''' (kwa [[Kiebrania]]: אָדָם maana yake ''mtu'', ''mtu wa udongo'', ''chaudongo'', au ''wa udongo mwekundu'') ni jina analopewa mtu wa kwanza katika [[Biblia]]. Anatajwa na [[Kurani]] pia. |
||
Kadiri ya [[kitabu]] cha [[Mwanzo (Biblia)|Mwanzo]], alizaliana na [[mke]] wake [[Eva]] watu wote waliopo duniani, ambao kwa sababu hiyo wanaitwa [[binadamu]]; kwa namna ya pekee waliweza kuzaa wenyewe [[Kaini]], [[Abeli]] na [[Set]]. |
Kadiri ya [[kitabu]] cha [[Mwanzo (Biblia)|Mwanzo]], alizaliana na [[mke]] wake [[Eva]] watu wote waliopo duniani, ambao kwa sababu hiyo wanaitwa [[binadamu]]; kwa namna ya pekee waliweza kuzaa wenyewe [[Kaini]], [[Abeli]] na [[Set]]. |
||
Mstari 9: | Mstari 9: | ||
==Katika Biblia== |
==Katika Biblia== |
||
[[Image:Adam with a Lion.jpg|thumb|right| |
[[Image:Adam with a Lion.jpg|thumb|right|200px|[[Heinrich Aldegrever]], ''Adamu na simba'', wakiishi kwa amani kabla ya [[Dhambi ya Asili]]]] |
||
[[Image:Dettaglio duomo Orvieto2.jpg|250px|thumb|left|Eva akiumbwa kwa ubavu wa Adamu alivyochongwa na ([[Lorenzo Maitani]] na shule yake, upande wa mbele wa [[Kanisa kuu]] la [[Orvieto]]).]] |
[[Image:Dettaglio duomo Orvieto2.jpg|250px|thumb|left|Eva akiumbwa kwa ubavu wa Adamu alivyochongwa na ([[Lorenzo Maitani]] na shule yake, upande wa mbele wa [[Kanisa kuu]] la [[Orvieto]]).]] |
||
[[Uumbaji]] wa watu wa kwanza unasimuliwa na Mwanzo mara mbili: katika 1,26-28 na katika 2,7-22. |
[[Uumbaji]] wa watu wa kwanza unasimuliwa na kitabu cha Mwanzo mara mbili: katika 1,26-28 na katika 2,7-22. |
||
Masimulizi hayo yanayotofautiana katika vipengele mbalimbali hayadai yachukuliwe kama habari za [[historia]] zinazoandikwa siku hizi. Yanatokana na tafakuri ya kina juu ya hali ya [[binadamu]]. |
Masimulizi hayo yanayotofautiana katika vipengele mbalimbali hayadai yachukuliwe kama habari za [[historia]] zinazoandikwa siku hizi. Yanatokana na tafakuri ya kina juu ya hali ya [[binadamu]] kwa lengo la kuelewa asili yake. |
||
==Katika Kurani== |
==Katika Kurani== |
||
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
[[Jamii:Watu wa Biblia]] |
[[Jamii:Watu wa Biblia]] |
||
[[Category:Watu wa Kurani]] |
[[Category:Watu wa Kurani]] |
||
[[Jamii:Manabii katika Uislamu]] |
|||
[[ace:Adam]] |
[[ace:Adam]] |
Pitio la 14:36, 24 Aprili 2011
Adamu (kwa Kiebrania: אָדָם maana yake mtu, mtu wa udongo, chaudongo, au wa udongo mwekundu) ni jina analopewa mtu wa kwanza katika Biblia. Anatajwa na Kurani pia.
Kadiri ya kitabu cha Mwanzo, alizaliana na mke wake Eva watu wote waliopo duniani, ambao kwa sababu hiyo wanaitwa binadamu; kwa namna ya pekee waliweza kuzaa wenyewe Kaini, Abeli na Set.
Kanisa Katoliki linamheshimu kama mtakatifu kila tarehe 24 Desemba.
Katika Biblia
Uumbaji wa watu wa kwanza unasimuliwa na kitabu cha Mwanzo mara mbili: katika 1,26-28 na katika 2,7-22.
Masimulizi hayo yanayotofautiana katika vipengele mbalimbali hayadai yachukuliwe kama habari za historia zinazoandikwa siku hizi. Yanatokana na tafakuri ya kina juu ya hali ya binadamu kwa lengo la kuelewa asili yake.
Katika Kurani
Humo Adamu anatajwa kwa namna inayofanana na ile ya Biblia. Anahesabiwa kuwa mtume wa kwanza.