Dzeta : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: war:Zeta
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: sr:Зета (слово)
Mstari 59: Mstari 59:
[[sk:Zéta]]
[[sk:Zéta]]
[[sl:Zeta (črka)]]
[[sl:Zeta (črka)]]
[[sr:Зета (слово)]]
[[sv:Zeta]]
[[sv:Zeta]]
[[th:ซีตา]]
[[th:ซีตา]]

Pitio la 15:13, 23 Aprili 2011

Alfabeti ya Kigiriki
Herufi za kawaida
Α α Alfa 1 Ν ν Ni 50
Β β Beta 2 Ξ ξ Ksi 60
Γ γ Gamma 3 Ο ο Omikron 70
Δ δ Delta 4 Π π Pi 80
Ε ε Epsilon 5 Ρ ρ Rho 100
Ζ ζ Dzeta 7 Σ σ ς Sigma 200
Η η Eta 8 Τ τ Tau 300
Θ θ Theta 9 Υ υ Ipsilon 400
Ι ι Iota 10 Φ φ Phi 500
Κ κ Kappa 20 Χ χ Khi 600
Λλ Lambda 30 Ψ ψ Psi 700
Μ μ Mi 40 Ω ω Omega 800
Herufi za kihistoria1
Digamma 6 San 90
Stigma 6 Sho 90
Heta 8 Koppa 90
Sampi 900
1 Viungo vya Nje:
Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_Nje

Dzeta (pia: Zeta) ni herufi ya sita katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama ζ (alama ya kawaida) au Ζ (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia alama kwa namba 7.

Asili ya dzeta ni herufi ya kifinisia ya zayin (tazama makala ya herufi Z). Matamshi yake ilikuwa "dz", katika Kigiriki cha kisasa ni zaidi kama Z ya Kiswahili.

Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki ζ inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.