Vistula (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: fa:ویستولا
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: am:ቪስቱላ ወንዝ
Mstari 24: Mstari 24:


[[als:Weichsel]]
[[als:Weichsel]]
[[am:ቪስቱላ ወንዝ]]
[[an:Río Vistula]]
[[an:Río Vistula]]
[[ang:Ƿisle]]
[[ang:Ƿisle]]

Pitio la 08:32, 18 Aprili 2011

Vistula
Kipoland: Wisła
Vistula karibu na Warshawa, Poland.
Chanzo Milima ya Beskidi
Mdomo Bahari ya Baltiki
Nchi Poland
Urefu 1,047 km
Kimo cha chanzo 1,106 m
Mkondo 1,054 m³/s
Eneo la beseni 194,424 km²
Nchi za beseni: Poland,
Ukraine, Belarus, Slovakia
Miji mikubwa kando lake Krakov, Warshawa, Thorun, Gdansk

Vistula (Kipoland: Wisła tamka: viswa) ni mto mkubwa nchini Poland mwenye urefu wa 1047 km.

Chanzo chake ni katika milima ya Beskidi inaishia katika Bahari Baltiki. Inapita kwenye miji mikubwa ya Krakov na Warshawa.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Vistula (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.