Shemasi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: th:ดีกัน
No edit summary
Mstari 51: Mstari 51:
[[tl:Diyakono]]
[[tl:Diyakono]]
[[tr:Diyakoz]]
[[tr:Diyakoz]]
[[uk:Дяк]]
[[uk:Диякон]]
[[zh:执事]]
[[zh:执事]]

Pitio la 14:52, 13 Aprili 2011

Shemasi ni kiongozi wa Kanisa anayeunganisha wenye daraja za juu na walei. Ushemasi ni daraja ya tatu na ya mwisho katika Kanisa Katoliki na madhehebu mengine kadhaa. Unatolewa na Askofu kwa kumwekea mtu mikono na kumuombea ili atoe huduma ya Neno la Mungu, ya liturujia na ya upendo. Unaweza kutolewa kwa namna ya kudumu au kama hatua ya kuelekea daraja ya upadri.