Mtumiaji:Muddyb : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
samahani! |
||
Mstari 44: | Mstari 44: | ||
*[http://muddybtz.blog.com/ Blogu B - English only] |
*[http://muddybtz.blog.com/ Blogu B - English only] |
||
== Viungo vya mwili== |
|||
Muddy, salaam. Nina ombi. Niliwahi kuanzisha makala juu ya viungo vya mwili na hao vijana wa mashindano ya makala za afya waliendelea. Makala hizi zote zinahitaji kuangaliwa kwa sababu Wakenya (nadhani) waliunda sentensi za ajabu kidogo na pia mara nyingi walikosa viungo. Nikiingia hapa nakiri udhaifu: kwa Wasafwa na Wanyakyusa nilipojifunza Kiswahili na baadaye Nairobi sijasikia kitu kingine ila "mkono" na "mguu". Kumbe. Sasa nimetengeneza picha ya [[mkono]] nikilenga kutaja sehemu zake kuanzia bega kupitia kisugidi hadi kiganja. Lakini ninahisi ya kwamba sina uhakika kwa sababu sina uzoefu kutaja sehemu zile (yooote mkono!) na kamusi zangu si wazi sana; mara nyingi maelezo si kamili, yanaingiliana maana au kuna maneno kadhaa na mimi sijui lipi ni afadhali. Je unajua wewe majina haya au unaweza kuchungulia kidogo? Tuanze kumaliza mkono baadaye inafuata mguu na mengine! Namwuliza pia Riccado ni vema kusikia kutoka Morogoro pia. Asante ndimi wako '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 10 Aprili 2011 (UTC) |
|||
Pitio la 08:42, 10 Aprili 2011
Mtumiaji huyu ana kazi nyingi katika maisha ya kweli na hawezi kujibu maswali yako kwa uharaka zaidi. |
Muddyb Blast Producer | |
---|---|
Muddyb Blast nikiwa kwenye pozi!
| |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | Mohammed George |
Pia anajulikana kama | Muddyb Blast Mnyamwanga Mwanaharakati |
Amezaliwa | 25 Aprili 1983 |
Asili yake | Kiwalani, Dar es Salaam Tanzania |
Aina ya muziki | Hip hop Bongo Flava |
Kazi yake | Mtayarishaji wa rekodi Mwanaharakati MwanaWikipedia |
Ala | DAW (digital audio workstation - FL Studio) |
Miaka ya kazi | 2004 - hadi leo |
Studio | Mitaa ya Kati Records |
Tovuti | Kwangu |
Ninaitwa Mohammed. Humu hujiita "Muddyb". Ninaishi Dar es Salaam, Tanzania. Hapa ninasimama kama mkabidhi na mrasimu wa kamusi elezo hii ya Kiswahili. Ukiwa una uswali lolote, basi uliza nami nitakujibu! Mimi ni mpenzi sana wa muziki na filamu. Hivyo basi, makala nyingi ninazoandika zinahusu masuala ya muziki na filamu!
Nukuu kali kutoka katika wimbo:
Been spending most their lives, living in the gangsta's paradise Been spending most their lives, living in the gangsta's paradise Keep spending most our lives, living in the gangsta's paradise Keep spending most our lives, living in the gangsta's paradise!
Nukuu kali kutoka kwa watu fulani-fulani:
In my case it was a fear and - just because I suppose I have something in my body and nobody else has it or very few people who had it. And I think it's because you're a different, I mean and, I mean I'm surprise we really have dogs nowadays because they are different? It's amazing how you can accept the dogs in your house, but you cannot accept someone because of their race. You know their color or their religion or what they have in them.
Masanduku ya Mtumiaji
Userbox | ||||||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
|