Lugha za Kisemiti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
nyongeza kidogo |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:lugha za Kisemiti.PNG|thumb|300px|Maneneo penye wasemaji wengi wa lugha za Kisemiti]] |
[[Picha:lugha za Kisemiti.PNG|thumb|300px|Maneneo penye wasemaji wengi wa lugha za Kisemiti]] |
||
'''Lugha za Kisemiti''' ni kundi la lugha zinazozungumzwa na watu milioni 300 katika [[Asia ya Magharibi]], [[Afrika ya Kaskazini]] na [[Afrika ya Mashariki]]. |
'''Lugha za Kisemiti''' ni kundi la [[lugha]] zinazozungumzwa na watu milioni 300 hivi katika [[Asia ya Magharibi]], [[Afrika ya Kaskazini]] na [[Afrika ya Mashariki]]. Zinahesabiwa kama tawi la [[lugha za Kiafrika-Kiasia]]. |
||
== Lugha za Kisemiti leo == |
== Lugha za Kisemiti leo == |
||
Lugha yenye wasemaji wengi ni Kiarabu. Wasemaji wengine |
Lugha yenye wasemaji wengi ni Kiarabu. Wasemaji wengine wengi ni wale wanaotumia lugha za [[Ethiopia]] na [[Eritrea]] halafu [[Israel]. Lugha hai za kisemiti ni pamoja na: |
||
* [[Kiarabu]] |
* [[Kiarabu]] ambacho kinazungumzwa kwa [[lahaja]] mbalimbali, ikiwa Kiarabu sanifu ni pia [[lugha rasmi]] katika nchi nyingi za [[Afrika ya Kaskazini]] na [[Mashariki ya Kati]] (wasemaji milioni 200-220) |
||
* [[Kiamhari]] ambayo ni lugha rasmi ya [[Ethiopia]] (wasemaji milioni 17) |
* [[Kiamhari]] ambayo ni lugha rasmi ya [[Ethiopia]] (wasemaji milioni 17) |
||
* [[Kitigrinya]] ambayo ni lugha rasmi katika [[Eritrea]] na |
* [[Kitigrinya]] ambayo ni lugha rasmi katika [[Eritrea]] na jimbo la [[Tigray]] nchini Ethiopia. (wasemaji milioni 5) |
||
* [[Kiebrania]] ambayo ni lugha rasmi nchini [[Israel]] (wasemaji milioni 5) |
* [[Kiebrania]] ambayo ni lugha rasmi nchini [[Israel]] (wasemaji milioni 5) |
||
* [[Kiaramu]] kilichorudi nyuma sana lakini bado |
* [[Kiaramu]] kilichorudi nyuma sana lakini bado kinatumika katika [[Syria]], [[Irak]], [[Uturuki]] na [[Uajemi]] kwa lahaja mbalimbali (kuna takriban wasemaji 500,000 hadi [[milioni]] moja |
||
* [[Kimalta]] ambacho ni lugha ya Kisemiti ya pekee ya [[Ulaya]] ikiwa ni lugha rasmi nchini [[Malta]] |
* [[Kimalta]] ambacho ni lugha ya Kisemiti ya pekee ya [[Ulaya]], ikiwa ni lugha rasmi nchini [[Malta]] (wasemaji [[laki]] 3) |
||
* [[Lugha za Bara Arabu kusini]] zajadiliwa hasa katika [[Omani]] na [[Yemeni]]; ni lugha tofauti na Kiarabu chenyewe kuna bado wasemaji 300,000 |
* [[Lugha za Bara Arabu kusini]] zajadiliwa hasa katika [[Omani]] na [[Yemeni]]; ni lugha tofauti na Kiarabu chenyewe (kuna bado wasemaji 300,000) |
||
== Lugha za kihistoria == |
== Lugha za kihistoria == |
Pitio la 12:56, 7 Aprili 2011
Lugha za Kisemiti ni kundi la lugha zinazozungumzwa na watu milioni 300 hivi katika Asia ya Magharibi, Afrika ya Kaskazini na Afrika ya Mashariki. Zinahesabiwa kama tawi la lugha za Kiafrika-Kiasia.
Lugha za Kisemiti leo
Lugha yenye wasemaji wengi ni Kiarabu. Wasemaji wengine wengi ni wale wanaotumia lugha za Ethiopia na Eritrea halafu [[Israel]. Lugha hai za kisemiti ni pamoja na:
- Kiarabu ambacho kinazungumzwa kwa lahaja mbalimbali, ikiwa Kiarabu sanifu ni pia lugha rasmi katika nchi nyingi za Afrika ya Kaskazini na Mashariki ya Kati (wasemaji milioni 200-220)
- Kiamhari ambayo ni lugha rasmi ya Ethiopia (wasemaji milioni 17)
- Kitigrinya ambayo ni lugha rasmi katika Eritrea na jimbo la Tigray nchini Ethiopia. (wasemaji milioni 5)
- Kiebrania ambayo ni lugha rasmi nchini Israel (wasemaji milioni 5)
- Kiaramu kilichorudi nyuma sana lakini bado kinatumika katika Syria, Irak, Uturuki na Uajemi kwa lahaja mbalimbali (kuna takriban wasemaji 500,000 hadi milioni moja
- Kimalta ambacho ni lugha ya Kisemiti ya pekee ya Ulaya, ikiwa ni lugha rasmi nchini Malta (wasemaji laki 3)
- Lugha za Bara Arabu kusini zajadiliwa hasa katika Omani na Yemeni; ni lugha tofauti na Kiarabu chenyewe (kuna bado wasemaji 300,000)
Lugha za kihistoria
Kuna idadi kubwa ya lugha za Kisemiti zinazojulikana kama lugha za kihistoria zisizo na wasemaji tena. Kati ya lugha hizi ni lugha za Babeli, Ashur, Kanaan, Moabu, Finisia na kwa jumla lugha za mataifa mengi zinazotajwa katika Biblia.