Dinosauri : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.1) (roboti Ondoa: rw:Dinosaur |
|||
Mstari 137: | Mstari 137: | ||
[[ro:Dinozaur]] |
[[ro:Dinozaur]] |
||
[[ru:Динозавры]] |
[[ru:Динозавры]] |
||
[[rw:Dinosaur]] |
|||
[[scn:Dinusauru]] |
[[scn:Dinusauru]] |
||
[[sh:Dinosauri]] |
[[sh:Dinosauri]] |
Pitio la 03:59, 7 Aprili 2011
Dinosau | ||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Sanamu ya tiranosauri (Tyrannosaurus rex)
| ||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||
|
Dinosauri (Kutoka Kigiriki δεινός deinos – "ya kutisha", σαῦρος sauros "mjusi; pia: dinosau, dinosari) walikuwa kundi la reptilia wakubwa sana walioishi duniani miaka mamilioni iliyopita.
Wataalamu huamini ya kwamba dinosau walitokea miaka milioni 230 iliyopita wakapotea ghafla mnamo miaka 65 iliyopita. Ndege hutazamiwa kuwa katika nasaba ya dinosau.
Ujuzi kuhusu wanyama hao ni kutokana na visukuku vyao (mabaki yaliyokuwa jiwe) kama mifupa, nyayo, mayai au samadi. Visukuku vya dinosau vimepatikana kwenye mabara yote hata Antaktika kwa sababu waliishi wakati mabara yote bado yalikuwa pamoja kama bara kubwa asilia la Pangaia.
Hadi sasa spishi 500 zimegunduliwa na idadi ya spishi zilizotambuliwa inazidi kuongezeka.
Kutokana na meno yao kumewezekana kutambua chakula chao. Wengine waliguwa wala majani, wengine wala nyama. Wakubwa sana walikula majani kama vile apatosauri na brakiosauri na hao walikuwa viumbehai wakubwa kabisa waliowahi kutembea duniani.
Wala nyama waliokimbia kwa miguu miwili ya nyuma jindi wanavyofanya watu lakini pia majusi kadhaa za leo.
Kulikuwa pia na reptilia wakubwa walioruka hewani walioitwa pterosauri lakini kinasaba hawakuwa karibu sana na dinosau. Wengine wakubwa waliishi baharini kama ikthiosauri na plesiosauri hata hao walikuwa kundi nyingine.
Picha
Picha zifuatazo zinaonyesha kwanza visukuku vya kweli vya dinosau halafu uchoraji au sanamu zinazonyesha jinsi gani wataalamu wanadhani mnyama alionekana
-
Kiunzi cha triseratopsi
-
Uchoraji wa triseratopsi
-
Kiunzi cha stegosauri (New York)
-
Sanamu ya stegosauri
-
Kiunzi cha alosauri (San Diego Natural History Museum)
-
Uchoraji wa alosauri
-
Kiunzi cha diplodoko (kutoka Tanzania - Museum für Naturkunde Berlin )
-
Uchoraji wa diplodoko
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Dinosauri kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Dinosauri kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA