Pearl S. Buck : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: be:Перл Бак |
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: be-x-old:Пэрл Бак |
||
Mstari 17: | Mstari 17: | ||
[[az:Perl Bak]] |
[[az:Perl Bak]] |
||
[[be:Перл Бак]] |
[[be:Перл Бак]] |
||
[[be-x-old:Пэрл Бак]] |
|||
[[bg:Пърл Бък]] |
[[bg:Пърл Бък]] |
||
[[br:Pearl Buck]] |
[[br:Pearl Buck]] |
Pitio la 20:27, 6 Aprili 2011
Pearl Buck (26 Juni, 1892 – 6 Machi, 1973) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Pearl Comfort Sydenstricker; Buck ni jina la mume wake. Lakini aliandika chini ya jina la John Sedges. Anajulikana hasa kwa riwaya zake juu ya maisha katika nchi ya Uchina ambapo alilelewa akiwa mtoto wa wamisionari. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pearl S. Buck kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |