Blogu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: be-x-old:Блог
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: rw:Blog
Mstari 106: Mstari 106:
[[ro:Blog]]
[[ro:Blog]]
[[ru:Блог]]
[[ru:Блог]]
[[rw:Blog]]
[[sh:Blog]]
[[sh:Blog]]
[[si:වියුණු සටහන]]
[[si:වියුණු සටහන]]

Pitio la 05:55, 5 Aprili 2011

Blogu ni teknolojia mpya inayowezesha watu binafsi kuchapa maoni na fikra zao katika mtandao wa tarakilishi. Blogu inaweza kuchukuliwa kama ni shajara pepe. Neno "blogu" ni tafsiri ya Kiswahili inayotokana na neno la kiingereza, "blog." Neno "blog" limetokana na neno jingine, "weblog." Kimsingi, blogu ni aina ya tovuti ambayo huandikwa mara kwa mara na kwa mpangilio wa mambo mapya kutokea ukurasa wa mbele kuendana na tarehe na mwezi.

Zipo blogu za aina mbalimbali. Kwa mfano, blogu za maandishi, blogu za mkononi, blogu za picha, blogu za sauti, na blogu za video.

Blogu ya mradi wa Global Voices inaandika muhtasari wa majadiliano na habari zinazojitokeza katika blogu mbalimbali duniani, hasa nje ya Marekani. Mradi huu una wanablogu katika nchi mbalimbali duniani ambao wanaandika juu ya masuala muhimu yanayojitokeza katika blogu za nchini mwao au katika bara lao.

Viungo vya nje

Blogger Templates

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA